Newz! Majina ya UHAMISHO WA WATUMISHI - DECEMBER 2013 Haya hapa

Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) inawatangazia watumishi wote kwamba uhamisho wa kuomba hufanyika mara mbili kila mwaka yaani mwezi juni na mwezi Disemba.
 
Hivyo watumishi wote walioomba uhamisho kwa mwezi Disemba 2013 wa kuhama na kuhamia katika Mamlaka mbalimbali za Serikali za Mitaa wanatangaziwa kuwa uhamisho umekamilika na barua zao zimetumwa kwa waajiri wao.
 
Aidha orodha ya watumishi walioomba kuhama na kuhamia imegawanyika katika makundi matatu tofauti kama ifuatavyo:-
   
•  Watumishi waliokidhi vigezo vya kupata vibali vya uhamisho.
•  Watumishi waliohama kwa mwezi novemba 2013 kwa kupata vibali maalum kutokana na sababu mbalimbali.
•  Watumishi ambao hawakukidhi vigezo vya kupata uhamisho.
Tumia viunganishi hapa chini kusoma orodha ya majina:-
Watumishi waliokidhi vigezo vya kupata vibali vya uhamisho 
Watumishi waliohama kwa vibali maalumu
Watumishi ambao hawakukidhi vigezo
 

Post a Comment

Previous Post Next Post